Browsing Category
AFCON
Bissau, Sudan zagawana pointi Afcon 2021
Guinea-Bissau katika dakika za mwisho wamepoteza nafasi ya kuondoka na alama tatu kufuatia kukosa tuta dhidi ya Sudan katika dakika ya 82 ya mchezo kwenye mechi ya kwanza Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2021 mtanange wa Kundi C.…
Nigeria yatoa somo kwa Misri, yashinda 1-0 Afcon 2021
Timu ya taifa ya Nigeria ambao ni mabingwa mara tatu wa taji la Afrika imeiduwaza Misri kwa kutoa kichapo cha goli 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Kundi D mtanange wa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2021.
Misri ambayo inaongozwa na…
Mabingwa watetezi Algeria waanza kwa sare Afcon 2021
Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa
ya Afrika AFCON 2021 wameanza taratibu katika mashindano hayo baada ya kutoa sare tasa na Sierra Leone mchezo uliopigwa Leo ukiwa wa kwanza katika Kundi E.
Wasumbufu Sierra Leone walikuwa kwenye…
Misri kutupa karata yake ya kwanza Afcon 2021 kwa Nigeria
Timu ya taifa ya Misri ikiwa moja ya timu ambazo zinatajwa kuwa nafasi ya mbele katika kuwania ubingwa wa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2021, itachuana vikali na Nigeria katika mchezo wa kwanza wa Kundi D mtanange utakaopigwa dimba…
Gabon yaharibu mwanzo wa safari ya Comoro katika AFCON
Aaron Boupendza alijaza pengo la Pierre-Emerick Aubameyang ambaye ana virusi vya corona na kuipa Gabon ushindi wa bao moja kwa sifuri dhidi ya wageni wa Kombe la Mataifa ya Afrika Comoro hapo jana mjini Yaounde. Taifa hilo la visiwa vya…
Morocco yaichapa Ghana 1-0 Kundi C
Morocco wameanza vyema kampeni ya kuwania ubingwa wa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2021 baada ya kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Ghana mtanange wa kwanza Kundi C.
Bao pekee kwenye mechi hiyo limefungwa na Sofiane Boufal…
Guinea yapiga moja kwa Malawi
Guinea imeanza mashindano ya Kombe la Mataifa Bingwa Afrika Afcon 2022 kwa ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Malawi katika mchezo wa kwanza wa Kundi B uliopigwa Leo Jumatatu Januari 10.
Bao pekee kwenye mechi hiyo limefungwa kunako dakika ya…
Mane aipa ushindi Senegal mbele ya Zimbabwe
Bao pekee la mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane kwa njia ya penati limeipa ushindi finyu timu hiyo mbele ya Zimbabwe katika mchezo wa hatua ya makundi mtanange wa kwanza.
Ushindi kwa Senegal ni maumivu makubwa kwa Zimbabwe…
AFCON Kimbembe Leo, Morocco Kupepetana na Ghana, Senegal pia Uwanjani
Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2022 itaendelea Leo Jumatatu Januari 10 kwa mechi nne za makundi mawili tofauti kuchezwa katika viwanja tofauti huku mtanange ambao utatazamwa kwa karibu utakuwa baina ya Morocco na Ghana ambao utapigwa…
Ethiopia yachapwa 1-0 na Cape Verde
Timu ya Cape Verde imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Ethiopia katika mchezo wa pili wa Kundi A Kombe la Mataifa Bingwa Afrika AFCON 2021 mchezo ambao umepigwa usiku wa siku ya Jumapili Januari 9.
Katika mchezo huo, ilishuhudiwa…